Mkurugenzi wa SOS Asha Salim Ali katikati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar kuhusu kukamilika Maandalizi ya Tamasha la michezo la Watoto, kesho kuadhimisha Siku ya Watoto Duniani litakalofanyika katika viwanja vya SOS Mombasa Zanzibar.
NAMUONA DK. SAMIA AKIENDA KUVUNJA REKODI ZA ASILIMIA ZA USHINDI WA RAIS
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KAMPENI za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu
zinaendelea tena kwa vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi hu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment