Mkurugenzi wa SOS Asha Salim Ali katikati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar kuhusu kukamilika Maandalizi ya Tamasha la michezo la Watoto, kesho kuadhimisha Siku ya Watoto Duniani litakalofanyika katika viwanja vya SOS Mombasa Zanzibar.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment