Wachezaji wawili wa zamani waliowahi kuchezea mashindano ya Afcon katika timing ya Tanzania waenda Misri kuangalia michuano hiyo.
Michuano hiyo itakayoanza Juni 20 mwaka huu, ambapo wachezaji hao watasafiri Juni 21 mwaka huu. Wachezaji hao ni Seif Nassor Bausi na Othman Abdalla Ali 'Foreman' wamepata.ufadhili kupitia Taasisi ya mimi.na.wewe Foundationi iliyo chini ya Mwenyekiti wake RC Ayuob Mohammed Mahmoud watakaa huko kwa muda wa siku 10.
No comments:
Post a Comment