Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu wa Niger Mhe. Brigi Rafini alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Diori Hamani, Niamey Nchini Niger.  Makamu wa Rais anamuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye  mkutano wa 12 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali kuhusu Eneo Huru  la Biashara Afrika(African Continental Free Trade Area-AfCFTA)                (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment