Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza maandamano kwa Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam Luteni Jeneral Paul Peter Massao wakati wa Mahafali ya Saba ya Chuo Hicho
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifunga Mafunzo kwa Wahitimu wa Mahafali ya Saba wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Cheti Mindi H. P. Kasiga Mmoja kati ya Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Brigedia General Mohamed Ahmed Montaser kutoka Egypt ambae ni Mmoja kati ya Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akikmabidhi Cheti Zhao Zishun kutoka China ambae ni Mmoja kati ya Wahitimu wa Mafali ya Saba ya Chuio cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar Es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na na Viongozi na Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na CDF Mstaafu George Waitara walipokutana kwenye Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kumpongeza Mindi H. P. Kasiga Mmoja kati ya Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment