Kwaya ya Kanisa la Baptist kutoka Marekani ikiimba wimbo
wakumsifu mungu katika Tamasha la Michezo lililoandaliwa na Kanisa hilo leo katika
Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro .
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza (kushoto) akimkabidhi zawadi ya
mchezaji bora mchezaji kutoka Timu ya Yanga Mrisho Ngassa (kulia) mara baada
kumalizika kwa mechi ya Tamasha la Michezo lililoandaliwa na Kanisa la Baptism
la mkoa huo nakufanyika leo katika uwanja wa Jamhuri.
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza akimkabidhi kocha wa timu ya
Mawenzi Market (ambaye jina lake
halikufamika) zawadi ya mchezaji bora wa timu hiyo kwa niaba ya mchezaji huyo
mara baada ya kumalizika kwa mechi yao iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri
Mkoani Morogoro,katikaTamasha la Michezo
lililokuwa limendaliwa na kanisa la Baptist la Mkoani huo.
No comments:
Post a Comment