RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika Maadhimisho ya
Ufungaji wa Maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo
ya Kusini Mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Jijinin Dar es Salaam.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika Maadhimisho ya
Ufungaji wa Maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo
ya Kusini Mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Jijinin Dar es Salaam.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein, akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Mhe. Damas Daniel Ndumbaro, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kuhudhuria hafla ya ufunguji wa
Wiki ya Nne ya Maonesho ya Viwanda ya SADC Jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment