RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akiwa katika moja ya Trekta lililotolewa Mkopo na Benki ya TAD
kwa Vikundi vya Ushirika Zanzibar, wakati wa hafla ya maonesho hayo
yaliofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi"A"
Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabihi Ufungo wa Treka Mwenyekiti wa Ushirika wa Kilimo Mkombozi cha Mkokotoni Ndg. Haji Mashaka Omar,wakati wa hafla ya Maonesho ya Kilimo yaliofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi"A" Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Kilimo cha
Umwagiliaji Maji Ndg. Haji Hamid Saleh, akielezea Kilimo cha shadidi wakati wa
maonesho ya Kilimo yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya
Magharibi "A"Unguja
No comments:
Post a Comment