Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akisalimiana na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Nchi za Nje wakiwasili katika Bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kampuni ya Azam ya Kilimanjaro kwa ziara Maalum kutembelea Zanzibar. kushoto Meya wa Manispa ya Zanzibar Mstahiki Meya Khatib Abdurahaman Khatib.
Rais Samia Azindua Kiwanda Cha Magari Kigamboni Dar Es Saalam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezindua
kiwanda cha SaturnCorporation Limited Wilaya ya Kigamboni jijini Dar es
Salaam...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment