Habari za Punde

Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni Amwakilisha Waziri Mkuu Mhe Majaliwa.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea zawadi iliyotolewa kwa Rais Dkt. John Magufuli na  Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,akielekezwa shughuli zinazofanywa na Taasisi ya BAPS Swaminarayan Santha,ikiwepo utoaji wa elimu,huduma za kiafya, inayosimamiwa na Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiagana na  Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi  Mkuu  wa  Kiroho  wa Madhehebu ya Kihindu, Mtukufu Mahant Swami Maharaj (kushoto).Kiongozi huyo wa kiroho yuko  nchini kwa ziara ya kikazi.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.