Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti mshindi wa Mdahalo wa juu ya Umuhuni wa Ulipaji wa Kodi Zanzibar, Mwanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Field Castro Pemba.Is-Haka Ali Dadi , wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 20 tangu kuazishwa kwa Bodi ya Mapato Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Bodi ya Mapato Zanzibar mazizini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti mshindi wa Mdahalo wa juu ya Umuhuni wa Ulipaji wa Kodi Zanzibar, Mwanafunzi wa Skuli ya Sekondari yaBen Bella Zanzibar.Khairia Mnyanja Simai. wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 20 tangu kuazishwa kwa Bodi ya Mapato Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Bodi ya Mapato Zanzibar mazizini Unguja.
Habari : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa Dharura wa SADC
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi
W...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment