Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti mshindi wa Mdahalo wa juu ya Umuhuni wa Ulipaji wa Kodi Zanzibar, Mwanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Field Castro Pemba.Is-Haka Ali Dadi , wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 20 tangu kuazishwa kwa Bodi ya Mapato Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Bodi ya Mapato Zanzibar mazizini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti mshindi wa Mdahalo wa juu ya Umuhuni wa Ulipaji wa Kodi Zanzibar, Mwanafunzi wa Skuli ya Sekondari yaBen Bella Zanzibar.Khairia Mnyanja Simai. wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 20 tangu kuazishwa kwa Bodi ya Mapato Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Bodi ya Mapato Zanzibar mazizini Unguja.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment