Habari za Punde

Michuano ya Mpira wa Kikapu Kombe la Karume Cup. Kati ya JKU na Africa Magic Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Africa Magic Imeshinda Kwa Vikapu.56-49.

Mchezaji wa Timu ya Africa Magic akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wa kuwania Kombe la Karume Cup, yanayofanyika katika uwanja Mao Zedong Zanzibar Timu ya Africa Cup imeshinda kwa vikapu 56 -49. 
















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.