Mchezaji wa Timu ya Africa Magic akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wa kuwania Kombe la Karume Cup, yanayofanyika katika uwanja Mao Zedong Zanzibar Timu ya Africa Cup imeshinda kwa vikapu 56 -49.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment