Mchezaji wa zamani wa Timu ya Small Simba Kocha na Taifa Stars kipa mashuhuri Zanzibar kwa umaarufu Bush akiwanoa Wachezaji Chipukizi Zanzibar kupitia Kituo cha Michezo cha Youth Footbal Development Academy Zanzibar katika viwanja vya maisara Uwanja wa Nyuki, Kituo hicho hutowa mafunzo ya wachezaji wa mpira wa miguu kuazia umri wa miaka 7 hadi 16
NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
-
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14
▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu
18-09-2025, Tanga.
MASHINDANO ya ngumi Klabu Bin...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment