Mchezaji wa zamani wa Timu ya Small Simba Kocha na Taifa Stars kipa mashuhuri Zanzibar kwa umaarufu Bush akiwanoa Wachezaji Chipukizi Zanzibar kupitia Kituo cha Michezo cha Youth Footbal Development Academy Zanzibar katika viwanja vya maisara Uwanja wa Nyuki, Kituo hicho hutowa mafunzo ya wachezaji wa mpira wa miguu kuazia umri wa miaka 7 hadi 16
DC Ndile: Tuidumishe Amani, Tuenzi Muungano kwa Vitendo
-
Mkuu wa Wilaya ya Songea, Kapenjama Ndile, amewataka Watanzania kuendelea
kudumisha amani na kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa vitendo,
akisis...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment