Mchezaji wa zamani wa Timu ya Small Simba Kocha na Taifa Stars kipa mashuhuri Zanzibar kwa umaarufu Bush akiwanoa Wachezaji Chipukizi Zanzibar kupitia Kituo cha Michezo cha Youth Footbal Development Academy Zanzibar katika viwanja vya maisara Uwanja wa Nyuki, Kituo hicho hutowa mafunzo ya wachezaji wa mpira wa miguu kuazia umri wa miaka 7 hadi 16
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment