RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamo wa Rais Muungano na Mazingira.Mhe.Goerge Simbachawene, alipowasili
katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar kuhudhurua hafla ya Ufunguzi
wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika Zanzibar, kushoto
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Issa Haji
Gavu na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Balozi. Ramadhan Muombwa Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe Issa Haji Gavu alipowasili
katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar kuhudhurua hafla ya Ufunguzi
wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika Zanzibar, kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Balozi. Ramadhan Muombwa Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa Baraza la Diaspora.Ndg.Norman Jasson alipowasili katika hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar kuhudhuria hafla ya Ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi wakipata maelezo ya bidhaa zinazotengenezwa na Kikundi cha Kibibi Product kutoka kwa Kiongozi wa Kikundi hicho Bi. Prisca Kataya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na moja ya bidhaa zinazotengenezwa na Kikundi cha Donge Pwani, wakati akitembelea maonesho ya Wajasiriamali Zanzibar katika hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika katika Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
No comments:
Post a Comment