MWENYEKITI wa (Tanzania Global Diaspora Council
(TDC GLOBAL) Ndg,Norman Jasson akitowa Salamu za Wanadiaspora wakati wa
ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika katika ukumbiu
wac Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Gavu akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa
Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya
Verde Mtoni Zanzibar.kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamede Shein, kuhutubia na kulifungua
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kulifungua Kongamano la Sita
la Diaspora Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni
Zanzibar, walililowashirikia Watanzania Wanaoishi Ughaibu
BAADHI ya Watanzania wanaoishi Ughaibuni
Diaspora wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora
Tanzania lililofanyika katika ukumbi wac Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akifungua Kongamano hilo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar(hayupo
pichani)
BAADHI ya Watanzania wanaoishi Ughaibuni
Diaspora wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora
Tanzania lililofanyika katika ukumbi wac Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akifungua Kongamano hilo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar(hayupo
pichani)
BAADHI ya Watanzania wanaoishi Ughaibuni
Diaspora wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora
Tanzania lililofanyika katika ukumbi wac Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akifungua Kongamano hilo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar(hayupo
pichani)
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Ma;pinduzi
Zanzibar wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora
Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar, wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
akihutubia hafkla hiyo(hayupo pichani) ufunguzi huo umefanyika leo 15-12-2019
WASHAURI wa Rais wakifuatilia hutuba ya ufunguzi
wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia (hayupo
pichani) lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano
na Mazingira.Mhe Goerge Simbachaweni akizungumza na kutowa neno la shukrani
wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania
lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
BAADHI ya Watanzania wanaoishi Ughaibuni Diaspora wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Sita la Diaspora Tanzania lililofanyika katika ukumbi wac Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akifungua Kongamano hilo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar(hayupo pichani)
MTOWA Mada ya kwanza kutoka Kampuni ya ‘African
Return Systems Trading ’Ndg.Johnas Singo akitowa maelezo ya Mada ya Urejeshaji
wa Taka za Plastiki, akiwasilisha wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Sita la
Diaspora Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar
No comments:
Post a Comment