Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na wananchi katika viwanja vya Likangara wilayani Ruangwa, mkoani Lindi
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, akiwasili katika viwanja vya Likangara wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, alipozungumza na wananchi, Machi 14, 2020.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment