Wasamaria wakimsaidi mjasiriamali aliyepata ajali ya kuanguka na pikipiki yake akiwa na tenga la mikate mkatika makutano ya barabara ya mkunazini na michezani kama wanavyoonekana wakiwa katika zoezi hilo, ajali hiyo imetokea juzi mpanda pikipiki huyo hajapata madhara katika tukio hilo la ajali.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment