Wasamaria wakimsaidi mjasiriamali aliyepata ajali ya kuanguka na pikipiki yake akiwa na tenga la mikate mkatika makutano ya barabara ya mkunazini na michezani kama wanavyoonekana wakiwa katika zoezi hilo, ajali hiyo imetokea juzi mpanda pikipiki huyo hajapata madhara katika tukio hilo la ajali.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment