MENEJA
wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar Ndg. Mbwana Ahmed akimkabidhi msaada wa
Vyakula Mkuu wa Kituo cha Nyumba ya Watoto Yatima ya Mazizini Jijini
Zanzibar.Bi.Pili Sadala, kwa ajili ya maandalizi ya Sikukuu ya Idd Il Fitry,
hafla hiyo imefanyika katika Kituo hicho Mazizini na (kulia kwa Mkuu wa Kituo) Afisa
Bima wa CRDB.Bi.Hamid Salim Juma na (kushoto kwa Meneja) Meneja Uhusiano na
Serikali wa CRDB Ndg. Anasi Ramadhan. Hafla hiyo imefanyika katika jengo la
kituo hicho mazizini
MENEJA
wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar Ndg. Mbwana Ahmed akiwa amebeba mafuta ya
kula wakati wa hafla ya kukabidha Vyakula mbambali kwa Watoto wa Nyumba ya
Watoto Yatima Mazizini Zanzibar kwa ajili ya futari na maandalizi ya kusherehekea
Sikukuu baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hafla
hiyo imefanyika katika makaazi ya Watoto hao Mazizini Jijini Zanzibar
MENEJA
wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar Ndg. Mbwana Ahmed akizungumza baada ya
kukabidhi msaada wa vyakula kwa ajili ya maandalizi ya Sikukuu baada ya
kumalizika kwa mfungo wa mwezi wa mtukufu wa Ramadhani kwa Watoto wa Nyumba ya
Watoto Yatima Mazizini Jijini Zanzibar, kulia Mkuu wa Kituo cha Watoto Mazizini
Bi. Pili Sadala na Afisa Bima wa CRDB.Bi.Hamida Salim Juma.
MKUU
waKituo cha Watoto Yatima Mazizini Zanzibar.Bi. Pili Sadala akitowa shukrani
kwa uongozi wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar kwa msaada wao wa vyakulakwa
ajili ya Watoto wa Kituo hicho na kutowa shukrani msaada huo umefika wakati
muafaka, hafla hiyo imefanyika katika Kituo hicho Mazizini Jijini Zanzibar
MKUU
waKituo cha Watoto Yatima Mazizini Zanzibar.Bi. Pili Sadala akitowa shukrani
kwa uongozi wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar kwa msaada wao wa vyakulakwa
ajili ya Watoto wa Kituo hicho na kutowa shukrani msaada huo umefika wakati
muafaka, hafla hiyo imefanyika katika Kituo hicho Mazizini Jijini Zanzibar,kushoto
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar Ndg. Mbwana Ahmed na Meneja wa
Uhusiano na Serikali wa CRDB. Ndg. Anasi Ramadhan
Uongozi wa Benki ya CRDB Tawi la Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kituo cha Watoto Yatima Mazizini Jijini Zanbzibar baada ya kukabidhi Vyakula kwa ajili ya Watoto wa Kituo hicho.
No comments:
Post a Comment