KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,akitia saini kwenye daftari la watia nia hapo Ofiosi KUU ya CCM Zanzibar leo
KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ametimiza idadi ya wagombea 27
MTATURU ACHUKUA FOMU JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI.
-
*Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa
ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment