Msajili
wa Hazina, Athumani Mbuttuka akimkabidhi Kamishna wa Maadili , Jaji Mstaafu
Harold Nsekela Taarifa ya Mwaka ya Msajili wa Hazina kwa Mwaka wa Fedha
2018/2019. Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Ofisi ya Msajili wa Hazina
wakati wa kikao cha pamoja kilichojadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano
kati ya ofisi hizo.
Msajili
wa Hazina, Athumani Mbuttuka akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja na
Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu Harold Nsekela , kujadili namna bora ya
kuimarisha ushirikiano kati ya ofisi hizo. Kikao hicho kilifanyika jana Juni
18, 2020 katika Ofisi za Msajili wa Hazina, Jijini Dar es Salaam.
Msajili wa
Hazina, Athumani Mbuttuka (Katikati) na Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu
Harold Nsekela (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji
wa Ofisi hizo baada ya kikao cha pamoja kilichojadili namna bora ya kuimarisha
ushirikiano kati ya ofisi hizo. Kikao kilichofanyika jana Juni 18, 2020 katika
Ofisi za Msajili wa Hazina, Jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment