Waziri wa maji wa SMT Prof Makame Mbarawa akimweleza jambo Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo wakati akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM leo
Waziri wa maji wa SMT Prof Makame Mbarawa akikabidhi fomu kwa Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo wakati akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM leo
Waziri wa maji wa SMT Prof Makame Mbarawa akuiongea na wanahabari baada ya kurudisha fomu ya kugombea Urais kupitia CCM
TRA YAPONGEZA MCHANGO WA WALIPAKODI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA
-
Songea – Ruvuma.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa takribani asilimia 70 ya
bajeti kuu iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment