Mshambuliaji wa Mbeya City, Alibasilim Chidiebele akipiga shuti huku akizongwa na beki wa Namungo FC, Hamis Mgunya katika Mechi ya Ligi Kuu ya VODACOM Tanzania Bara iliyochezwa kwanye Uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Julai 15, 2020. Namungo FC ilishinda 1- 0. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Samaki wa Ziwa Ikimba Kuongezeka Hadi Tani 15 Baada ya Kufungwa Miezi 6
-
Na Diana Byera,Bukoba
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na
Uvuvi imelifungua Ziwa Ikimba lililopo Halmashauri ya Buko...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment