Mshambuliaji wa Mbeya City, Alibasilim Chidiebele akipiga shuti huku akizongwa na beki wa Namungo FC, Hamis Mgunya katika Mechi ya Ligi Kuu ya VODACOM Tanzania Bara iliyochezwa kwanye Uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Julai 15, 2020. Namungo FC ilishinda 1- 0. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KONGAMANO LA MIAKA 60 LINATARAJIWA KUFANYIKA TUNGUU ZANZIBAR
-
Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed
Salim (Centre Foreign Relation) Dkt. Jacob G. Nduye (Kushoto) akitoa
taarifa kwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment