Mshambuliaji wa Mbeya City, Alibasilim Chidiebele akipiga shuti huku akizongwa na beki wa Namungo FC, Hamis Mgunya katika Mechi ya Ligi Kuu ya VODACOM Tanzania Bara iliyochezwa kwanye Uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Julai 15, 2020. Namungo FC ilishinda 1- 0. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mpango wa Mji Sumbawanga Kupata maji kutoka Ziwa Tanganyika unakaribia.
-
*Meneja wa RUWASA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Boaz Matundali (kulia)
akiwasilisha mada yake mbele ya mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo
(aliyekaa ku...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment