Gari
la Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ likiwa limebeba Jeneza lenye mwili wa
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa wakati likiwasili
katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Makanali wa JWTZ
wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu
Benjamin William Mkapa wakati wakiingia katika sehemu ya Ibada katika Misa ya
Dominika ya 17 ya Mwaka ‘A’ wa Kanisa Katoliki pamoja na Kumuaga Rais Mstaafu
wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa katika Uwanja wa Uhuru jijini
Dar es Salaam.
Mjane wa Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa Mama Anna Mkapa
akiwa pamoja na familia yake katika Misa hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa
Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe
Mama Janeth Magufuli wakiwa pamoja na viongozi wengine wa Kitaifa wakishiriki
Misa ya Dominika ya 17 ya Mwaka ‘A’ wa Kanisa Katoliki pamoja na Kumuaga Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa katika Uwanja wa Uhuru
jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment