RAIS
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na
Mjane wa Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Hayati Benjamin Wiliam Mkap,Mama Anna Mkapa, wakielekea katika eneo la kaburi
kwa ajili ya uwekaji wa mchanga.
MJANE
wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin
William Mkapa, Mama Anna Mkapa, akiweka mchanga katika kaburi baada ya kuwekwa
mwili wa marehemu na kulia kwake Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli.maziko hayo yamefanyika Kijiji kwao Lupaso Mkoani
Mtwara
RAIS
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiweka
mchanga katika kaburi lililokuwa na mwili wa Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin William Mkapa, yaliofanyika 29/7/2020, Kijijini kwao Lupaso
Mkoani Mtwara
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiweka mchanga katika kaburi lililokuwa na mwili wa Hayati Rais Mstaaf wa
Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,
yaliofanyika 29/7/2020 Kijijini kwao
Lupaso Mkoani Mtwara.
RAIS
Mstaaf wa Awamu ya Pili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan
Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Siti Mwinyi, wakiweka mchanga katika kaburi
lililokuwa na mwili wa Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Tanzania.Benjamin
Mkapa, yaliofanyika 29/7/2020 kijijini kwao Lupaso Mkoani Mtwara
RAIS
Mstaaf wa Awamu ya Nne wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mkewe Mama Salma
Kikwete, wakiweka mchanga katika kaburi lililokuwa na mwili wa Hayati Rais
Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Tanzania.Benjamin Mkapa, yaliofanyika 29/7/2020
kijijini kwao Lupaso Mkoani Mtwara
RAIS
wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
na Marais Wastaaf (kushoto kwa Rais) Rais Mstaaf wa Awamu ya Pili wa Jamuhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi na Rais Mstaaf wa Awamu ya Nnewa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakiweka maua
katika kaburi la Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin William Mkapa, yaliofanyika 29/7/2020, Kijijini kwao Lupaso
Mkoani Mtwara
RAIS
wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
na Marais Wastaaf (kushoto kwa Rais) Rais Mstaaf wa Awamu ya Pili wa Jamuhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi na Rais Mstaaf wa Awamu ya Nnewa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakiweka maua
katika kaburi la Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin William Mkapa, yaliofanyika 29/7/2020, Kijijini kwao Lupaso
Mkoani Mtwara
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Ali Mohamed Shein,
akiweka maua katika kaburi la Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin William Mkapa yaliofanyika 29/7/2020 Kijijini kwao Lupaso
Mkoani Mtwara.
SPIKA
wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai (kulia kwake)
Naiubu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Tulia Ackson na
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe. Zuberi Ali Maulid wakiweka ua
katika kaburi la hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin William Mkapa
JAJI
Mkuu wa Tanzania Mhe Prof Ibrahim Hamis Juma na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar
Othman Makungu, wakiweka maua katika kaburi la Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya
Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa. Maziko
yaliofanyika Kijijini kwao Lupaso Mkoani Mtwara.
MAWAZIRI
wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakiweka maua katika kaburi lililokuwa na
mwili wa Hayati Rais wa Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin Mkapa, maziko yaliofanyika 29/7/2020 Kijijini kwao Lupaso
Mkoani Mtwara
WAKUU
wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania wakitowa heshima baada ya kumaliza
kuwela maua katika kaburi lililokuwa na mwili wa Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya
Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa yaliofanyika
Kijijini kwao Lupaso Mkoani Mtwara
WANANCHI
kutoka sehemu mbalimbali Nchini Tanzania wa wakifuatilia hafla ya maziko ya
Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin
William Mkapa, yaliofanyika 29/7/2020, kijijini kwao Mkani Mtwara.
MJANE wa Hayati Rais Mstaaf wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Benjamin Willian Mkapa Mama Anna Mkapa, akisalimiana na kuagana na
Viongozi Wakuu wa kwanza Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Samia Suluh Hassan,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe.Balozi Seif Ali Iddi.
No comments:
Post a Comment