Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.dk HusseinMwinyi akiwapungia mkoni na kuwasalimia Wajumbe wa Kongamano Maalum lililoandaliwa na Umoja wa Wake wa Viongozi kwa kushirikiana na UWT Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Kichama Amani Jijini Zanzibar.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment