Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.dk HusseinMwinyi akiwapungia mkoni na kuwasalimia Wajumbe wa Kongamano Maalum lililoandaliwa na Umoja wa Wake wa Viongozi kwa kushirikiana na UWT Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Kichama Amani Jijini Zanzibar.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment