Habari za Punde

Mgombea Urais wa Zanzibar Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi Azungumza na Wakulima wa Zao la Karafuu, Mwani Pemba.

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi akizungumza na wakulima wa zao la karafuu,viungo na wazalishaji wa mwani Kisiwani Pemba wakati wa mkutano wake uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Wesha ilioko nje kidogo ya Chakechake.


Wakulima wa zao la Karafuu,Viungo,Mwani na wazalishaji wa Chumvi wakimsikiliza kwa makini Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk.Hussein  Ali Hassan Mwinyi  alipokuwa akizungumza nao juu ya namna atakavyotatua changamoto zao baada ya kupata Urais wa Zanzibar mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Wesha Pemba.

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi wa CCM Pemba baada ya kumaliza mkutano wake na Wakulima wa zao la Karafuu Pemba.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.