Mgombea
Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwapungia mkono wananchi wa Same mjini leo tarehe 20 Oktoba 2020.
Mgombea
Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Wananchi wa Same mjini mkoani Kilimanjaro katika Mkutano wa
Kampeni za CCM leo
Wananchi
wa Same wakimsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia Same mjini
Wananchi
wa Same wakimsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia Same mjini
No comments:
Post a Comment