Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akiwaomba wananchi wa kijiji cha Mkwiti wilayani Tandahimba wampigie kura mgombea Urais wa CCM, Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Madiwani na Wabunge wa CCM, Oktoba 20, 2020.
RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII
-
Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa
utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi.
RC Mal...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment