Habari za Punde

Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni Mgombea wa CCM Jimbo la Wawi Pemba.

MENEJA kampeni za CCM Mkoa wa Kuisni Pemba Mohamed Aboud Mohamed, akimtambulisha mgombea ubunge wa jimbo la Wawi Khamis Kassim Ali (BAAA), wakati wauzinduzi wa kameni za jimbo hilo katika viwanja vya Ditia
MENEJA Kmapeni za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Pemba Mohamed Aboud Mohamed, akizungumza wakati wauzinduzi wa mkutano wa kampeni jimbo la Wawi na kuwanadi wagombea wa jimbo hilo, huko katika viwanja vya Ditia Wawi
MJUMBE wa kamati ya Sisa ya Wilaya ya Chake Chake, Mwanajuma Majidi Abdalla akizungumzia katika mkutano wakamni za CCM jimbo la Wawi mkutano uliofanyika Viwanja vya Ditia Wawi
MJUMBE wa kamati ya siasa ya Mkoa wa Kuisni Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wanaccm wa jimbo la Wawi wakati wauzinduzi wa kampeni za jimbo hilo huko katika uwanja wa Ditia Wawi

Mgombea Uwakilishi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Wawi Pemba Ndg. Bakari Hamad Ali akizungumza katika mkutano wake  wa kampeni  wa Uzinduzi uliofanyika katika viwanja vya Ditia Wawi Wilaya ya Chake Chake Pemba.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.