Innalilahiwainnailayhiraajiuun Mzee Amour Khalfan aliyewahi kuwa Radio Zanzibar ametangulia mbele ya haki Allah amsameh makosa yake na ampe qauli thabit na awaoe subira kubwa sana wana familia wote na sisi atupe mwisho mwema.Amiin.
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment