Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais Mhe Hemed awasili Pemba kwa ziara ya kikazi ya siku tatu

MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mberwa Hamad Mberwa mara baada ya kuwasili kisiwani Pemba kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akivishwa shada la mauwa na kijana Saada Said Massoud mara baada ya kuwasili Kisiwani Pemba kwa ziara ya siku tatu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akisalimiana na Afisa Mdhamini Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Ibrahim Saleh Juma, mara baada ya kuwasili Kisiwani Pemba kwa ziara ya siku tatu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akiwasalimia waliokuwa wafanyakazi wake wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, mara baada ya kuwasili Kisiwani Pemba kwa ziara ya siku tatu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na kuwasalimia wananchi wa wananchi wa mikoa miwili ya Pemba mara baada ya kuwasili Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na kuwasalimia wananchi wa wananchi wa mikoa miwili ya Pemba mara baada ya kuwasili Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dk Khalid Salum Mohamed, akizungumza na wananchi wa mikoa miwili ya Pemba, wakati waziara ya makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, alipowasili Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.