Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwake) Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na (kulia kwa Rais) Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Job Ndugai na Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma, wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa baada ya kuwasili Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya Uapisho iliofanyika katika Viwanja vya Ikulu Chamwino leo 16/11/2020.
Waziri Mkuu Mteule Mhe. Kassim Majaliwa akiwa na Waziri Mteule wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mteule Mhe.Profesa Palamagamba Kabudi , wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa hafla ya kuapishwa kushika nyazifa zao hizo hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.
Waziri Mkuu Mteule Mhe. Kassim Majaliwa akiwa na Waziri Mteule wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Profesa Palamagamba Kabudi , wakisubiri kuapishwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli katika hafla hiyo iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mheshimiwa Kassim
Majaliwa Majaliwa (Mb) kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani
Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Philip Isdor
Mpango (Mb) kuwa Waziri wa Fedha na Mipango katika hafla fupi iliyofanyika
katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Palamagamba
Kabudi (Mb) kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharikikatika
hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwake) Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na (kulia kwa Rais) Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai na Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma, wakifuatilia hafla ya kuapishwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.
Waziri
wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) pamoja na Waziri wa Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Afrika MasharikiProfesa Palamagamba Kabudi (Mb) wakila
Kiapo cha Uadilifu kwa viongozi wa Umma mara baada ya kuapishwa kuwa Mawaziri
na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufulikatika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani
Dodoma leo tarehe 16 Novemba, 2020.
BAADHI ya Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akipiga makofi kumpongeza Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majalia baada ya kumaliza kula Kiapo katika hafla hiyo iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.
Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo 16/11/2020.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa shukrani wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe, Kassim Majaliwa iliofanyika katika Viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo na kushoto kwake Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wabunge wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Waziei Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.
Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa katika viwanja vya Ikulu Chamwino leo.
Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi
mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho wa Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim
Majaliwa Majaliwa (Mb), Waziri wa Fedha pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Masharikikatika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino
mkoani Dodoma
Viongozi wakuu wakifuatilia hutuba ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kumaliza kuwaapisha Viongozi aliowateua hivi karibuni akiwemo Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, hafla hiyo ya uapisho imefanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.
Viongozi wa Dini wa Madhehebu mbambali Nchini Tanzania wakifuatilia hutuba ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jogn Pombe Magufuli wakasti wa hafla ya kumuapisha Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Dodoma leo.
Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo.RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi akiwa na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa wakielekea katika sehemu ilioandaliwa kwa
ajili ya tafrija maalum katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma leo baada ya
kumalizika kwa hafla ya kuapishwa Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa leo. RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kubadilisha mawazo ( Kulia kwake ) Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
na (kushoto kwake ) Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan, wakiwa katika viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma baada
ya kumalizika kwa hafla ya kuapishwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassam
Majaliwa leo
RAIS
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na (kulia kwa Dk. Mwinyi ) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.
Kassim Majaliwa na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiwa
katika viwanja vya IKulu Chamwino Dodoma leo baada ya kumalizika kwa hafla ya
kumuapisha Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa
No comments:
Post a Comment