Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazi Pemba Mhe Salama Mbarouk Ashiriki Katika Ujnezi wa Taifa wa Madrasa Kizimbani Pemba.

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akimimina dongo la kujengea katika ndoo, ikiwa ni ishara ya kushiriki katika ujenzi wa madrasa ya Qur-an inayojengwa kwa nguvu za wananchi huko Kizimbani, kabla ya kukabidhi maaada wa saruji paketi 15 zilizotolewa na mbunge wa Viti Maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akiweka jiwe kuashiri kushiriki katika ujenzi wa madrasa ya Qur-an inayojengwa kwa nguvu za wananchi huko Kizimbani, kabla ya kukabidhi maaada wa saruji paketi 15 zilizotolewa na mbunge wa Viti Maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar.
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akimkabidhi mifuko 15 ya saruji Msimamizi wa ujenzi wa Madrasa ya Qur-an Kizimbani Rashid Said Khalfan, iliyotolewa na Mbunge wa Viti maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar (katikati)
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akimkabidhi fedha tasimu shilingi laki moja na elfu hamsini msimamizi wa ujenzi wa Madrasa ya Qur-an Kizimbani Rashid Said Khalfan, fedha zilizotolewa na Mbunge wa Viti maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar (katikati).

Mbunge wa Viti maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar akishiriki katika ujenzi wa madrasa ya Qur-an kwa kuweka jiwe na udongo, kabla ya kukabidhi msaada wa mifuko 15 ya saruji kwa uongozi wa madrasa hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.