Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amewashika mikono Rais wa Zanzibar
Dkt. Hussein Ali Mwinyi pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim
Seif Shariff Hamad mara baada ya kuzungumza na Wanahabari katika Ikulu ndogo ya
Chato mkoani Geita leo tarehe 14 Januari 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa
Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Maalim Seif Shariff Hamad mara baada ya mazungumzo yao katika Ikulu ndogo ya
Chato mkoani Geita leo tarehe 14 Januari 2021.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Maalim Seif Shariff Hamad akizungumza
na Wanahabari mara baada ya kikao chao cha pamoja na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa
Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi
No comments:
Post a Comment