Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora aweka jiwe la msingi nyumba za makaazi ya kambi ya askari KM KM Kiuyu Mbuyuni

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman, akikunjuwa kitamba kuashiria uwekaji wajiwe la Msingi kambi ya KM KM Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman, akikagua nyumba za makaazi ya kambi ya askari KM KM Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MUONEKANO wa nyumba za askari wa KM KM Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya wananchi ambao wamehudhuria uwekaji wa jiwe la Msingi kambi ya KM KM Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

NAIBU Mkuu wa KM KM Zanzibar kepteni Khamis Simba Khamis, akizungumza machache juu ya kambi ya KM KM Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ Radhia Rashid Haroub, akisoma taarifa ya Kitaalamu ya ujenzi wa Kambi ya KM KM Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala bora Zanzibar Haroun Ali Suleiman, akizungumza na wananchi wa Kiuyu M’buyuni Wilaya ya Micheweni pamoja na Askari wa KM KM, baada ya uwekaji wa jiwe la msingi la kambi ya askari hayo, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salam Mbarouk Khatib, akitoa neon la shukurani kwa wananchi wa kiuyu M’buyuni wilaya ya Micheweni, mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi kambi ya askari wa KM KM, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya maafisa wa vikosi vya idara maalumu za SMZ kisiwani Pemba wakifuatilia kwa makini uwekaji wa jiwe la msingi kambi ya askari wa KM KM kiuyu M’buyuni Wilaya ya Michweni, ikiwa ni shamrashamra za miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA:ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.