MBUNGE wa viti
maalumu Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar, akiwashajihisha akinamama wa
kinazini Mtambwe, kujikita katika uchumi wa buluu na Vikundi cha ushirika ili
kuondokana na umasikini
MBUNGE wa Viti
Maalumu Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Sharif Omar, akimkabidhi fedha za
kununulia misumari katibu wa Maskani ya Kinazini Mtambwe Said Hamad Said, kwa
ajili ya kuezeka bati za maskani hiyo
MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Kaskazini Pemba Asya Shariff Omar, akikabidhi bati 20 kwa katibu wa Maskani ya Kinazini Mtambwe Said Hamad Said, kwa ajili ya kuezeka maskani hiyo ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa kwa wananchi hao.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
No comments:
Post a Comment