Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Viongozi mbalimbali, Wafanyakazi wa Mahakama, Majaji pamoja na
wananchi wa mkoa wa Dodoma katika kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria
nchini na miaka 100 ya Mahakama Kuu yaliyofanyika katika viwanja vya Chinangali
jijini Dodoma leo
Baadhi
ya Majaji wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli wakati alipokuwa akisoma hotuba yake katika kilele cha
maadhimisho ya siku ya sheria nchini na miaka 100 ya Mahakama Kuuyaliyofanyika
katika viwanja vya Chinangali mkoani Dodoma
Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Profesa Ibrahim Hamis Juma akizungumza cha maadhimisho
ya siku ya sheria nchini na miaka 100 ya Mahakama Kuuyaliyofanyika katika
viwanja vya Chinangali jijini Dodoma leo tarehe 1 Februari 2021.
No comments:
Post a Comment