RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Rais Mstaaf wa Zanzibar
Awamu ya Saba Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili nyumbani kwake Kibele
Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa
ajili ya kumsalimia na kuzungumza nae
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na Rais Mstaaf wa
Zanzibar wa Awamu ya Saba Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, alipofika nyumbani kwake
Kibele Wilaya ya Kati Unguja, kwa ajili ya kumsalimiana na kuzungumza nae.
RAIS Mstaaf wa Zanzibar Awamu ya Saba Alhaj Dk.
Ali Mohamed Shein akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi alipofika nyumbani kwake Kibele kwa
ajili ya kumjulia hali na kuzungumza nae, wakiwa katika mazungumzo yao.
No comments:
Post a Comment