Habari za Punde

Tamwa Zanzibar yafanya mafunzo kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao za kisiasa kisiwani Pemba

WAANDISHI wa habari Kisiwani Pemba wakifuatilia kwa makini, mafunzo ya siku nane juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao kisiasa na uongozi yaliyoandaliwa kwa pamoja na TAMWA, ZAFELA na PEGAO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, wakiwa katika kazi za vikundi wakati wa mafunzo ya siku nane juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao kisiasa na uongozi yaliyoandaliwa kwa pamoja na TAMWA, ZAFELA na PEGAO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWANDISHI wa Habari Mwandamizi Kisiwani Pemba Ali Mbarouk Omar, akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari, juu ya kutumia takwimu katika habari zao wakati wa mafunzo ya siku nane juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao kisiasa na uongozi yaliyoandaliwa kwa pamoja na TAMWA, ZAFELA na PEGAO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.