Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewaongoza Viongozi wa Serikali na Wananchi Nchini Tanzania katika misa ya Maziko ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliofanyika Kijijini kwao Chato leo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment