Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewaongoza Viongozi wa Serikali na Wananchi Nchini Tanzania katika misa ya Maziko ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliofanyika Kijijini kwao Chato leo.
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 pamoja na Taarifa ya Utendaji
Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka
2022/2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment