Mandhari ya Barabara
ya Shekilango km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, upana mita 22, njia za watembea
kwa miguu,taa za Kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa
magari kuanzia maungio ya barabara ya Morogoro na kupita mitaa yote ya
Sinza mpaka maungio ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi mkoani Dar es Salaam ikiwa
inapendeza mara baada ya ujenzi wake kukamilika. PICHA NA
IKULU
MBUNGE KAWAWA AKABIDHI DAWA NA VIFAA TIBA VYA MILIONI 14.5 ZAHANATI YA
LUANGANO
-
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma, Vitta Rashid Kawawa, amekabidhi
dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 14.5 kwa Zahanati ya
Luan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment