Mandhari ya Barabara
ya Shekilango km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, upana mita 22, njia za watembea
kwa miguu,taa za Kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa
magari kuanzia maungio ya barabara ya Morogoro na kupita mitaa yote ya
Sinza mpaka maungio ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi mkoani Dar es Salaam ikiwa
inapendeza mara baada ya ujenzi wake kukamilika. PICHA NA
IKULU
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment