Mandhari ya Barabara
ya Shekilango km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, upana mita 22, njia za watembea
kwa miguu,taa za Kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa
magari kuanzia maungio ya barabara ya Morogoro na kupita mitaa yote ya
Sinza mpaka maungio ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi mkoani Dar es Salaam ikiwa
inapendeza mara baada ya ujenzi wake kukamilika. PICHA NA
IKULU
DK.MWINYI AHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.
Dkt. Hu...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment