Mandhari ya Barabara ya Shekilango km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, upana mita 22, njia za watembea kwa miguu,taa za Kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa magari kuanzia maungio ya barabara ya Morogoro na kupita mitaa yote ya Sinza mpaka maungio ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi mkoani Dar es Salaam ikiwa inapendeza mara baada ya ujenzi wake kukamilika. PICHA NA IKULU
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment