RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitembelea Kiwanda cha Sukari Mahonda
Mkoa wa Kaskazini Unguja akiwa katika ziara yake akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi
Mkuu wa Kiwanda hicho Ndg. Rahim Bhaloo (kushoto kwa Rais) akitowa maelezo ya
uzalishaji wa sukari na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.
Ayoub Mohammed Mahmoud na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar
Mhe.Omar Said Shabaan.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda
cha Sukari Mahonda Ndg. Rahim Bhaloo (kushoto kwa Rais) akitowa maelezo ya
uzalishaji wa Sukari katika kiwanda hicho wakati akiwa katika ziara yake leo na
(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud,
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shabaan na
Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Mhe.Dkt. Soud Nahoda Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda
cha Sukari Mahonda Zanzibar,Ndg Rahim Bhaloo, wakati wa ziara yake kutembelea
kiwanda hicho kuangalia uzalishaji wa sukari.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo na kuangalia Sukari
iliozalishwa na kiwanda hicho kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu Ndg. Rahim Bhaloo,
akiwa katika ziara yake kujionea uzalishaji wa Sukari kiwandani hapo leo,
6-3-2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa
ajili ya kuzungumza na Wananchi na Wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda
akiwa katika ziara yake kutembelea kiwanda hicho leo na (kushoto kwa Rais) Mkuu
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe, Ayoub Mohammed Mahmoud na Waziri wa Biashara
na Maendeleo ya Viwanda Mhe. Omar Said Shabaan na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi
Mkuu wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Ndg. Rahim Bhaloo.
MFANYAKAZI wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Ndg.
Amour Juma akitowa changamoto zinazowakabili katika Uongozi wa Kiwanda cha
Sukari Mahonda, wakati ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) mkutano huo umefanyika
katika viwanja vya kiwanda hicho Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 6-3-2021
MKULIMA wa zao la Miwa kutoka Cheju
Ndg.Mohammed Omar akizungumza changamoto
zao kuhusiana kilimo cha miwa wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) mkutano huo
umefanyika katika viwanja vya kiwanda hicho mahonda.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisikiliza changamoto za Wafanyakazi wa
Kiwanda cha Sukari Mahonda wakati wa ziara yake kutembelea kiwanda hicho leo
6-3-2021 na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Sukari Mahonda
Ndg. Rahim Bhaloo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyakazi wa Kiwanda cha
Sukari na Wakulima wa zao la Miwa,
katika viwanja vya kiwanda hicho (hawapo pichani) wakati wa ziara yake leo
6-3-2021 kutembelea kiwanda hicho
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyakazi wa Kiwanda cha
Sukari na Wakulima wa miwa, wakati wa ziara yake kutembelea kiwanda hicho
kujionea uzalishaji wa Sukari kiwandani hapo
WAFANYAKAZI wa Kiwanda cha Sukari Mahonda
wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wafanyakazi na
Wakulima wa Miwa katika viwanja vya kiwanda hicho mahonda akiwa katika ziara yake
leo
BAADHI ya Wakulima wa Miwa Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akizungumza wakati wa ziara yake ya kutembelea Kiwanda cha Sukari Mahonda leo.
No comments:
Post a Comment