Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk Hussein Ali Mwinyi Azungumza na Ujumbe wa Helping Handi Ikulu Zanzibar.

 

RAIS wa Zanzibar naMwenyekitiwaBaraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza misaada mbalimbali inayotolewa na Jumuiya zisizo zak iserikali (NGOs) kwa kuzingatia misaada hiyo inalenga moja kwa moja kuisaidia jamii.

Dk. Mwinyi ametoa pongezi hizo Ikulu Jijini hapa, alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa Jumuiya ya ‘Helping Hand’  pamoja na Muzdaliffa Cheritable Organisation.

Amesema misaada mbalimbali inayotolewa na Jumuiya zisizo za Kiserikali, ikiwemo uchimbaji wa visima, vifaa tiba pamoja na samani za aina mbalimbali inalenga katika maeneo sahihi ya kijamii.

Alisema pamoja na juhudi zinazofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Maji (ZAWA) yakusambaza maji katika maeneo yote nchini, bado upatikanaji wa huduma hizo haujakidhi mahitaji, hivyo hatua ya Jumuiya hiyo kuchimba visima ni vyema ikaendelea.

Rais Dk. Mwinyi aliishauri Jumuiya hiyo kufikiria uwezekano wa kutumia pampu za ‘Solar’ ikiwa ni hatua ya kupunguza gharama za uendeshaji kwa wananchi baada ya miradi kukamilika.

Aidha, alishauri kuendelea na utoaji wa Huduma za tiba kupitia Kambi mbalimbali, ikiwemo macho na kubainisha kuwa bado huduma zinazotolewa na Hospitali ziliopo nchini hazijawa za kutosheleza,  hivyo akatoa pongezi kwa uongozi wa Jumuiya hiyo kwa misaada ya vifaa tiba, ikiwemo vya kuhifadhia damu.

Kuhusina na misaada ya samani, Dk. Mwinyi alisema kuna uhaba mkubwa wa samani katika taasisi mbalimbali za Ulinzi, ikiwemo Polisi, Magereza pamoja na vyuo vya Amalihivyokunaumuhimuwakuendeleakuzisaidia.

 

AliwahakikishiaviongoziwaJumuiyahiyokuwaserikaliitaendeleakutoakilaainayaushirikianonakuhakikishavifaanasamanizotezinazotolewakwamisingihiyohavitozwiushuru, hivyoakawatakakuendeleanajuhudizakuisaidiajamii.

 

Dk. MwinyialitoashukuranikwaViongoziwaJumuiyahiyokwakazikubwananzuriwanayofanya, kwakutambuakuwaSerikalihaiwezikufanyakilajambo.

 

MapemaKiongoziwaJumuiyaya ‘Helping Hand’ YassirSalimMasoudalisemakuwaJumuiyahiyoimekuwaikitowamisaadambalimbaliyakijamiikwawananchiwa Zanzibar, ikiwemouchimbajiwavisima, kambikwaajiliyawagonjwa (macho), utoajiwavifaatibapamojanasamanizaainambalimbali.

 

Alisemakwatakribankipindi cha miaka 10 sasaJumuiyahiyoimetowamisaadambalimbaliyenyethamaniyazaidishilingiBilioni 17.1 nakufanikiwakuchimbavisima48  katikamaeneotofautinchini.

 

AlisemaHospitalizaMnazimmojanaAbdallaMzee Pemba  zimewezekunufaikanamisaadainayotolewanaJumuiyahiyokwakupatiwavifaatiba, hukutaasisimbalimbalikama vilePolisi, MagerezanaVyuovyaAmalizikinufaikanasamanizaainatofauti.

 

AlisemaJumuiyahiyoinalengakuletamakontena 20 mwakahuu, mawilikatiyakeyatakayokuwanavifaavyaainambalimbali, ikiwemosamani,vifaatiba,nguopamojanaviatuyakitarajiwakuwasilinchinihivikaribuni.

 

AliiombaSerikalikuendeleeakutoamsamahawakodikwaJumuiyahiyokwakuzingatiamisaadayoteinayotolewainawalengawananchi.

 

Nae, MkurugenziwaMuzdalifaCheritable Organization Farouk HamadKhamisalisemaJumuiyahiyoimejikitakatikautoajiwamisaadambalimbalimbaliyakijamiikwawananchiwaUngujana Pemba, kama vile uchimbajiwavisima, hudumakwamayatimanavifaatibaambapomiongonimwaJumjuiyazinazofadhilini ‘Helping Hands’.

Jumuiyaya ‘Helping Hands’ yenyemakaomakuuyakenchiniMarekaniimekuwaikifanyashughulizakuisaidiajamiihapa Zanzibar tangumwaka 2012.

 

AbdiShamna, Ikulu Zanzibar

Postal Address: 2422 Tel.:0777476982. Fax: 024 2231822 

 E-mail: abdya062@gmail.com

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.