Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimuapishaMkuu wa Itifaki (Chief
of Protocol) katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
MasharikiYusuph Tindi Mndolwa kuwa Balozi katika hafla fupi iliyofanyika katika
Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 19 Aprili 2021.
Yusuf Tindi Mndolwa akila
Kiapo cha kuwa Balozi katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo
Mkuu wa Itifaki (Chief
of Protocol) katika Wizara ya Mambo ya Nje Balozi Yusuph Tindi Mndolwa
akila Kiapo cha Uadilifu pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao
eGA Bw. Benedict Benny Ndomba mara baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika
katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 19 Aprili 2021
No comments:
Post a Comment