Habari za Punde

SALAAM ZA PONGEZI KWA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ZAZIDI KUMIMINIKA

Kampuni ya kutengeneza Vyuma na Vipuli vya mashine ya FAZNAM GmbH inayomilikiwa na mfanyi biashara mwanana wa kitanzania Bi.Halima Mfundo yenye makao yake nchini ujerumani  inampongeza Rais wetu mpya wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Rais Mama Samia Suluhu Hassan na kumtakia afya njema katika kutongoza watanzania,mkurugenzi wa kapuni hiyo Bi.Halima Mfundo amesema kampuni yake inaungana na watanzania wengine katika kumuunga mkono Rais Mama Samia Suluhu Hassan.

Mungu ibariki Tanzania

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.