Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),
Mhe. Selemani Jafo (watatu kushoto) pamoja na viongozi mbalimbali akiongoza matembezi ya hiyari kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini
Dodoma leo Mei 29, 2021 ambapo alimuwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Philip IsdorMpango.
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment