Katika kikao hicho Bi.
Mary aliwataka Viongozi hao kutimiza wajibu wao katika kusimamia Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 ikiwemo masuala ya vibali vya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA), Taka
Hatarishi na Usimamizi wa Fedha.
TANZIA: Halmashauri ya mji wa Babati yapata pigo, yampoteza Masunga
-
Na John Walter-Babati
Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu katika
halmashauri ya mji wa Babati Bw. Faustine Masunga , amefariki ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment