Katika kikao hicho Bi.
Mary aliwataka Viongozi hao kutimiza wajibu wao katika kusimamia Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 ikiwemo masuala ya vibali vya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA), Taka
Hatarishi na Usimamizi wa Fedha.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment