Katika kikao hicho Bi.
Mary aliwataka Viongozi hao kutimiza wajibu wao katika kusimamia Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 ikiwemo masuala ya vibali vya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA), Taka
Hatarishi na Usimamizi wa Fedha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe..Dkt. Samia Suluhu Hassan
Amemuapisha Mhe. Hamza Johari Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Bw. Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye
hafla...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment