WANANCHI kutoka shehia mbali mbali Kisiwani Pemba, wakisoma kwa makini barua zao walizopewa na Jumuiya ya PECEO kwa ajili ya kwenda kuombea hati za umiliki wa viwanja au mashamba na maeneo mengine, ili kuwa wamiliki halali wa vitu hivyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
MABORESHO BANDARI YA DAR ES SALAAM YAZAA MATUNDA , UWEZO KUHUDUMIA SHEHENA WAONGEZEKA
-
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Bandari ya Dar es Salaam Mrisho Mrisho amesema bandari hiyo
imepita katika hatua mbalimbali za maboresho lengo likiwa kuo...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment