WANANCHI kutoka shehia mbali mbali Kisiwani Pemba, wakisoma kwa makini barua zao walizopewa na Jumuiya ya PECEO kwa ajili ya kwenda kuombea hati za umiliki wa viwanja au mashamba na maeneo mengine, ili kuwa wamiliki halali wa vitu hivyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment