MENEJA Masoko Zantel Zanzibar Rukia Iddi Mtingwa,
akisoma taarifa ya ushirikiano baina ya Kampuni ya Zantel na shirika la ZSTC,
ili kutoa huduma ya malipo ya wakulima wa karafuu kwa njia ya Ezypesa, wakati wa
uzinduzi wa msimu wa mpya wa manunuzi wa zao la karafuu, hafla iliyofanyika
Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya wafanyakazi wa kituo cha ununuzi wa zao la
karafuu bandarini Wete, wakisafisa baadhi ya karafuu ambazo zimefikishwa
kituoni hapo, kabla ya kununuliwa na shirika la ZSTC katika msimu mpya wa zao
hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Afisa mkuu wa fedha Zantel Azizi Said Ali wapili
kushoto na Mkuu wa mauzo na Usambazaji Zantel Emamanuel Joshua, wakipatiwa
maeleo juu ya utafauti wa karafuu za gredi ya kwanza na gredi ya pili, kutoka
kwa wafanyakazi wa shirika la ZSTC Bandarini Wete, wakati wa uzinduzi wa msimu
wa manunuzi wa zao hilo.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Omar Siad Shaaban, (kushoto) akimsikiliza kwa
makini Afisa Mkuu wa Fedha Zantel Zanzibar Azizi Said Ali (mwenye maiki), juu
ya mikakati yao ya ulipaji wa fedha kwa mfumo wa Ezypesa kwa wakulima wa zao la
karafuu, wakati wa uzinduzi wa msimu wa manunuzi ya karafuu huko Bandarini
Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment