Habari za Punde

NMB yatoa msaada wa vifaa vya kuezekea kwa baadhi ya maskuli na vitanda vya Hospitali kwa Wilaya ya Magharibi Unguja

MENEJA Msimamizi wa Biashara NMB Zanzibar Zanzibar Abdalla Duchi  akimuleleza jambo mkuu wa wilaya ya Magharibi A Suzan Kunambi, wakati amkuu huyo wa wilaya akipokea vvitanda vya vituo vya afya vilivyotolewa na benki ya NMB kwa baadhia ya vituo vya afuya ndani ya wilaya hiyo.

Benki ya NMB imekabithi mabati 400 na vitanda  30 ikijumuisha hospital beds,examination beds na delivery beds kwa wilaya ya Magharibi A Ili ivigawe katika vituo vya Afya vyenye mahitaji na mabati kwa ajili ya kuenzeka holl  la kufanyia mitihani katika skuli ya Mbuzini na pia mabati kwa ajili ya skuli ya Mtoni Kigomeni.
Hongera kwa kutenga asilimia 1% ya faida yenu na kutatua changamoto katika sekta ya Elimu na Afya nchini.

MENEJA Msimamizi wa Biashara NMB Zanzibar Abdalla Duchi,  akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vitanda vya vituo vya afya na mabati ya kuezekea, ikiwa ni msaada uliotolewa na benki ya NMB kwa mkuu wa wilaya ya Magharibi A huko skuli ya Mbuzini. 

MENEJA Msimamizi wa Biashara NMB Zanzibar Zanzibar Abdalla Duchi  akimuleleza jambo mkuu wa wilaya ya Magharibi A Suzan Kunambi, wakati amkuu huyo wa wilaya akipokea vvitanda vya vituo vya afya vilivyotolewa na benki ya NMB kwa baadhia ya vituo vya afuya ndani ya wilaya hiyo

MKUU wa wilaya ya Magharibi A Suzan Kunambi (mwenye kilemba chekundu) akipokea msaada ya mabati ya kuezekea kwa baadhi ya skuli za wilaya hiyo, zilizotolewa na benki ya NMB, anayekabidhi ni  meneja Msimamizi wa Biashara NMB Zanzibar Abdalla Duchi kwa niaba ya uongozi wa benki hiyo hafa iliyofanyika skuli ya Mbuzini.

MKUU wa wilaya ya Magharibi A Suzan Kunambi akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vitanda vya vituo vya afya na mabati ya kuezekea, ikiwa ni msaada uliotolewa na benki ya NMB kwa mkuu wa wilaya ya Magharibi A huko skuli ya Mbuzini.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.