RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akiondoa
kipazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makaazi
za Mradi wa Blue Ocean Residency Bweleo Wilaya ya Magharibi “B”Unguja, ikiwa ni
shamrashamra za mwaka mmoja wa Uongozi wake, hafla hiyo imefanyika katika
viwanja vya Mradi huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipiga
makofi baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Nyumba za Makaazi za Mradi wa
Blue Ocean Residency Bweleo.(kushoto) Uongozi wa Mradi huo, ikiwa ni
shamrashamra za Mwaka Mmoja wa Uongozi wake, hafla hiyo imefanyika katika
viwanja vya Mradi huo huko Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipiga
makofi baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Nyumba za Makaazi za Mradi wa
Blue Ocean Residency Bweleo.(kushoto) Uongozi wa Mradi huo, ikiwa ni
shamrashamra za Mwaka Mmoja wa Uongozi wake, hafla hiyo imefanyika katika
viwanja vya Mradi huo huko Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi,
wakimsikiliza.Bw. Yusuf Ezzi akitowa maelezo ya michoro ya majengo ya Mradi wa
Nyumba za Makaazi za Blue Ocean Residency Bweleo, baada ya kuweka Jiwe la
Msingi la ujenzi wa Mradi huo, ikiwa ni shamrashamra za Mwaka mmoja wa Uongozi
wake, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya mradi huo Bweleo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi,
wakimsikiliza.Bw. Yusuf Ezzi akitowa maelezo ya michoro ya majengo ya Mradi wa
Nyumba za Makaazi za Blue Ocean Residency Bweleo, baada ya kuweka Jiwe la
Msingi la ujenzi wa Mradi huo, ikiwa ni shamrashamra za Mwaka mmoja wa Uongozi
wake, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya mradi huo Bweleo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza.Bw. Yusuf Ezzi akitowa maelezo ya michoro ya majengo ya Mradi wa Nyumba za Makaazi za Blue Ocean Residency Bweleo, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Mradi huo, ikiwa ni shamrashamra za Mwaka mmoja wa Uongozi wake, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya mradi huo Bweleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA Ndg. Sharif Ali Sharif akizungumza baada ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Nyumba za Makaazi zinazojengwa katika eneo la Bweleo Wilaya ya Magharibi "B" Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Uongozi wake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja (hawapo pichan) wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makaazi za Blue Ocean Residency Bweleo.Wilaya ya Magharibi “B”Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kutimia mwaka mmoja wa Uongozi wake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja (hawapo pichan) wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makaazi za Blue Ocean Residency Bweleo.Wilaya ya Magharibi “B”Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kutimia mwaka mmoja wa Uongozi wake
No comments:
Post a Comment